IBANIE KWA NDANI

(uki share simulizi hii whatsapp ,facebook,twitter au instagram nakutumia simuliz yote kwenye inbox yako..share mara nyingi iwezekanvyo...share nikutumie)

SEHEMU YA KWANZA.

Ilikuwa siku ya furaha sana siku nilipomaliza kumpa …
Nilimpa na akasema asante kwa sauti kubwa mpaka nikamfunga mdomo..
Kuogopa watu wengine wasisikie saut yake na kujua alikuwa ndani na mimi
Ilikuwa ngumu sana kumpa ngumu mno kumpa …nilijipanga muda mrefu sana
Ilingarimu mwaka moja na nusu kupanga jinsi ya kumpa n anime kwa staili
Ipi na kuwa muda gani na nimpee wapi ..ilikuwa changamoto kubwa sana,.
Kubwa kubwa katika maisha yangu sikuwahi kuwaza kama nitampa
Kwa  kweli  toka siku ya kwanza nilipoonana nae nilihisi tulazima
Haya mambo yatafikia huku nilijua tu lazima ataomba nimpe
Nilijua na nilitegemea sana ingawa nilijipa moyo hakuna kumpa
Mtu hapa ni kubana mpaka mwisho hata aombaje hapewe
Bora noma na iwe noma lakini  kadri siku zilivyozipid kwenda
Ushawish ulizi kuwa mkubwa na nguvu na ujuzi wake wa
Kushawish alizidi kuongeza ..na mimi nilizid kubana


Nilibana balaa unajua kubana wewe..kama unajua kubana
basi tambua nilibana mpaka mwisho nilibana mmno na hapo
wakati nabana hakuna aliyejua zaid ya yeye anayeniomba
na mimi mimi mtoaji nilikataa hata kusikua kuna siku nyingi tu
sikupokea simu wala kujibu msg za mtu huyu ni jamaani
kunawatu wanajua kuomba jamaani acha kabisa acha kabisa
watu wanaomba mpaka wanalia wanagalagala chini
wanapiga mpaka kilugha cha nyumbani kwao..
lakini kwa kubana pia tupo wenye uwezo wetu
tunabana balaa na kubana kunaraha yake usisikie ..
 ubane na unayembania azidi kukuomba anaupa

nguvu ya kuendelea kubana zaidi.





itaendelea ..ila ukitaka full story fwata maelekezo hapo chini..

(uki share simulizi hii whatsapp ,facebook,twitter au instagram nakutumia simuliz yote kwenye inbox yako..share mara nyingi iwezekanvyo...share nikutumie)

KIMYA KIMYA

                                                                   KIMYA KIMYA
YALIYOMO NDANI YA KIMYA KIMYA:  VIDOKEZO
sawa bana wewe si moto wa mjini m wala sina shaka maana nikiomba pesa unanipa ingawa nakuona tu upo upo”
Aaaaaaahh pole pole…ilikuwa mwimbo wa taifa kipindi hicho so mtu mzima nikampa motto dozi kamili ka ile ya dawa mseto ya maralia kila kona ya chumba nusu tuvunje laptop maana ilikuwa kila staili 3-5-2 ndo staili yangu kubwa kwa wale wataalamu wa wanajua huwa inakuwaje mtu ukimpiga kwa kutumia mfumo huu wa maangamizi.
“Utakaa sawa dear”
Usingizi wa ghafla.nikamuacha amelala nikatoka zangu nje..
Kama kawa alifanya Kama aliyoagizwa na bosi mkuu na kweli baada ya dakika kazaa simu ikaita na namba za Kenya maana boss wetu alikuwa anatumia mtandao ya Kenya.
je eva akijua kuwa m huwa nauza madawa itakuwaje?
Kumbuka baba yake eva ni afisa usalama mkuu wa kikosi.
FWATILIA KISA HIKI  CHA KUSISIMIA,MAPENZI KATI YA MTOTO WA AFISA USALAMA MKUU NA  KIJANA FRANK MUUZA MADAWA YA KULEVYA..NI TUKIO NDANI YA TUKIO,VISA NDANI YA VISASI)….






Simulizi inaanzia Hapa:
Eva:sasa itakuwaje dear?
Mi:nni shida mama?
Eva:si hayo mambo yako ya chuo.
Mi:mama situshaongea jamani mbona unataka nirudie jambo lile mama.tatizo nini?
Eva:we huoni tatizo wenzangu eeee?
Mi:tatizo lipo lakini litaisha mama nipe muda pleas.
Eva:mmmmmmmmmmmmmmm
Sasa mama bora jiandae nikusindikize mama mida inazidi tembea tusije tukakosa gari si unajua kule kwenu magari yanazingua?akajibu “poa niletee poda.”tukatoka pale nyumbani mida ya saa moja na nusu tukaenda standi kibo nikamsindikiza mpaka mwenge

kwa kweli alikuwa amenunu kiasi sikujua kwa nini?nikijaribu kumdadisi alijibu “dear sina shida nipo poa” lakini chako utakijua tuu man kweli mama alikuwa hayuko poa kabisa jambo hili lilinikosesha raha hata mimi?lakini nikajiapa moyo labda uchovu tu ndo ulikuwa unamsumbua. Magari ya bahari beach siku hiyo yalikuwa yanazingua mbaya kitu ambacho kilimzidishia hasira so ikabidi apande la  tegeta.akanihagi kiaina gari lilipoondoka nikaona ni bora nitafute sehemu nipate ndovu mbili nirudishe mudi yangu.hivyo nikasigea mpaka mlimani city nikakaa pale nje nika bia zangu mbili taratibu huku nikitafakari nitaishije maisha haya bila kazi ya kudumu.
Kweli moja huazisha nyingine maana ilibidi nipige tatu hivyo buku sita yangu iilitembea pale nikaingia ndani na kuchukua maziwa tanga mtindi kwa ajili ya kesho.kabla sijatoka pale mlimani nikampigia mpenzi nikamuuliza kama kafika:
Mi:rrrrrrrrrrrrrrr ilikuwa inaita (akapokea)
Eva:hello?
Mi:niaje mama umeshafika?
Eva:hapana dear nipo hapa corner nachukua bajaji?
Mi:pole
Eva:asante uko wapi sasa.
Mi:mlimani city mama?
Eva:hongera unazo wenzangu?
Mi:hamna mama kawaida?
Eva:poa bana nikifika nitakwambia ila usisahau kuweka akiba baba sawa?
Mi:worry not?
Eva:sitani?
Mi:nimekuelewa mama.
Simu ikakata nikahisi kuna kitu huyu mama ananificha maana leo anataka niweke akiba kwa nin?lakini kijana sikujali sana maana ilikuwa siku ya kwanza kuambiwa hivyo so nikapotezea.nikatambaa zangu sikani.
Siku zikazidi kwenda mawasiliano na mama eva yalikuwa kama kawaida yaani kwa siku mara tatu hivi au zaidi ilikuwa poa  lakini maneno yalikuwa yanabadilika sana demu alikuwa hataki kabisa kuzungumzia ishu za mapenzi.alitaka mada za biashara tu na jinsi ya kubana matumizi maswali yalikuwa mengi na mengi nilijitahidi kuyajibu.lakin mengine da yalinishinda kabisa kuyajibu?ilibidi  nimuulize mama hivi haya maswali unaniuliza kwa sababu zipi ?maana nasihindwa kukuelewa mama?
akajibu “utakaa sawa dear”
Mi:du hilo ndo jibu mama.
Eva: hapana dear nakutania mpenzi m nilikuwa natakakujua uwezo wako kwenye mambo ya biashara.
Mi:ok so tuendelee?
Eva:maswali ee?
Mi:sio maswali mama maswali yameshatosha..?
Eva:aaaah hapana baba leo ni jumatatu siku ya kazi.umesahau tarehe nini?
Mi:da  kweli da siku zinatembea,, mama poa leta stori..stori sio maswali?
Unajua frank hamna mapenzi bila pesa.m nakupenda kweli dear ila wewe wenzagu kazi sasa huna na hao wa chuo huko hawajawaita hadi leo so unafiki utafanya nini town hapa baba?nikajibu da ushaanza maswali mama ?wewe unakikumbuka chuo kuliko hata mimi wenyewe niliyesimamishwa asante sana.sikia dear nilisha make one time so hapa mjini hapanipi shida nilizaliwa sinza dear umesahau.kila kukicha nasugua kichwa hapa sikani nifanye nini cha muda mrefu so usihofu mama siwezi kosa shughuli town hapa.
Akajibu “sawa bana wewe si moto wa mjini m walas sina shaka maana nikiomba pesa unanipa ingawa nakuona tu upo upo”
Mi:hivyo ulitaka unikute barabrani napigwa na jua sio.
Eva:eeeh ndio mkaa bure si sawa na mtembea bure.,tuachane na hayo ile assignment uneshanisaidia dear?
Mi:iko poa mama so umekuja na flash.
Eva:hapana nitumie kwenye e-mail.
“sikumtumie assignment yake hivyo ilibidi aje fasta  ghetto kuichukua mwenyewe na mambo yalikuwa hiv”:

Mi:assignment yako hii hapa mama samahani sana wangu..
Mi:..,so unakula nini?
Eva;chochote mpenzi?
 tulipotoka hapa nilimsindikiza mpaka ubungo akachukua gari la posta moja kwa moja mpaka chuo.
Niliporudi ghetto::-
Nilikuwa nimetembelewa na rafiki yangu Gabi (G) na mazungumzo yalikuwa hivi:
G;sasa kwa nini hukumsindikiza mpaka chuo kidume?
Mi:da nilikuwa na ndala tu arifu halafu  hata pesa sikubeba yaani nilitoka bila hata simu.
G:sasa dogo atakuja tena lini jombaa?
Mi:labda jmos maana kitabu kinambana sana si unajua mwaka wa pili sasa.
G:so nipe full mkanda jomba ilikuwaje chuo mwana?
Mi: Daaa long stori jomba ila nitajitahidi kuifupisha au unasemaje?
G:wewe nipe full mkanda kwanza tukanunue vipoozeo au unaonaje?
Mi:itakuwa mzuka mbaya jomba?
G:cheki na ten hii,m castle.
Mi:ngoja niongezee hapa tupate nne na nichukue na kitu cha kiepe yai.siunajua itakuwa ngumu kupika mida hii.
G: itakuwa poa yangu asiweke pilipili..
Mi:poa mkuu wa kazi.
(Baada ya muda kidogo nikarudi na msosi pamoja na gambe zikawekwa mezani na mambo yakawa hivi)
G:so leta info jomba?
Unakumbuka pale nipoishia siku nilikucall jombaa?akajibu “yap”so naendelea nilitoka zangu pande zile mida ya kitisa hivi nikatambaa zangu town fasta na vimizigo kaina.nikafika town nikatafuta sehemu  nikakaa kwanza nikajipunzisha si unakumbuka ile bar tuliyokaa siku ile na yule sista wa masters..(G):ee “nyuma ya stendi”
mia bro kweli unakumbukumbu jombaa pale pale nikaa nikapunguza machungu kiaana na mmoja mmoja nilipotoka pale nikatembea zangu mpaka wajenzi kupiga mboji kesho yake niakaamka na uchovu mbaya maana hizo simu nilizokuwa napokea jomba mpaka cha charge  iliisha simu zote mbili..yaani kila kona mpaka mchizi wako wakongo alitamani hatakulia man kusikia nimetimuliwa..ndo hivyo jomba nikawapoza wasihofu kivile wasije wakapata presha.
So nilikaa Dodoma kwa wiki mmoja hivi na nusu baada ya hapo nikatambaa zangu dar maana dogo alikuwa anakuja alihitaji mtu wa kumpokea..
G:eeh da dogo vipi yuko poa?
Mi:yuko poa mbaya jomba kawa mrefu ka hasim vile na anatembeza buku mbaya.so nikampokea dogo nikamtembeza mji kidogo alikaa hapa town kwa siku mbili hivi.hapo ndo maisha yangu yalianza rasmi town jomba jiji la joto bila pesa ni sawa na kumkonyeza demu gizani.nikapiga sana jaramba town hapa na mchizi wangu Yuda.Ghetto hakueleweki tunapika sometime hatupiki tunanunua mihogo kwa mama muuza.
G:daa hivyo ghetto mlikuwa mtu mbili tu.
G:sasa we jomba ilikuwaje ukapata kazi hapa town.
Daa long stor bro ilikuwa ka dhali vili jombaa siunajua mungu hamtupi mtu wake,kitaa kilikuwa kimenuka mbaya chapa ilikata nilikuwa na mpango wa kuingia mkoa.na kipindi hicho salome alikuwa kashazigua mda mrefu jomba yaani hapa kati bata zilikata kiana zile za foleni zikawa zinanishinda na dogo mambo mengi so dogo akaanza nichunia kiaina huku nyuma ni mambo yanajipa na demu ndo anasepa shua bro nilimwambia mambo yashakuwa poa nusu milioni itaanza kuingia soon lakini dogo hakutaka kunamini daywaka akaamua kutambaa zake na kuniacha single man ilikuwa so hard.

G:da mwanangu kitu s aliamua kusepa..pole sana daa,
M:da kaka siunajua inafika wakati mtu unakuwa hausomeki mazima so mademu wengine wanashindwa kuelewa kuwa vitu hupanda na kushuka.nikaaza kwenda job kwenye shirika moja hapa mjini(jina nalihifadhi kwa sababu maalumu)kwa muda wa miezi mitatu mfululuzo na bata zikaaza kurudi upya maana mambo yangu mengi yalianza kuwa poa jomba.Ghetto siumeona gasi hiyo na ikikata inahitaji 50000 so bila dili inakuwa ngumu kulipa umeme kulipa maji so mambo madogo madogo nikawa nauwezo wa kuyamaliza kimya kimya.
Kitu cha foleni kilikuwa kinataka kunifanya niache kazi jomba ilanilipokumbuka msoto wa nyuma nikaamuaa kukoma na kazi.ila unaamka usiku unarudi usiku ni kazi mtindo mmoja jomba niliandika ripot mpaka vidole vikataka vizame kwenye keyboard, piga sana kahawa na machapati  ila baada ya saa mbili njaa maana ofisi ilikuwa na baridi ka tuko makambako vile mtu wangu Ac ilikuwa ni kwele.inapuliza hiyo na meza yangu ndo ipo chini ya kichwa cha ac.hivyo ilikuwa inanipiga mbaya.
Alafu G nilipiga madude yako?
G:aaaa we kaka ni kwele uliwezaje?
Mi:msoto wa kitaa ulinifundisha kuchezesha akili kaka..nilikuwa na akili nyingi mpaka nikaaza kujiogopa..
Basi bwana tuishie hapa maana hizi bia zinaanza kunipotezea kumbukumbu.
G:da ni mzuka,sasa kaka zima hiyo tv leta  laptop tucheki muvi  ndo zina mzuka.
Mi:uko sawa jomba kitu taken tukichek maana hili limovi halinichoshi?
G:mzee wa  Goodluck..huyo huyo taken ndo mpango mzima.
Mi:kumbe unakumbuka kaka dat right.
G:laptop kama hii haikosi mambo yetu yale?
Mi:ja umejuaje jomba ila we mdau maana mlikuwa mnataka kuniuwa mimi na vipindi vyemu vya siku zima.
G:da unamkumbuka mzee rams alikuwa kwele ila sasa ukimuona kwenye ofisi utafikirii mtu wa maana vile…dada yako je?
Mi:nani tena huyo?
G:si matawi unajisahaulisha mzee wa kufukuzia motto..
Mi:acha zako nani alifukuzia Yule demu kama si wewe mzee wa mbuga..ila tuseme ukweli dogo Yule ni mkali ukifikia upande wa mambo yetu.
G:sasa wewe muvi yenyewe  umeiweka wapi sasa….
Mi:we acha hizo search hapo faili linaloitwa salome.
G:sawa baba salome?
Mi:acha mambo yako.
G:sasa nani aliandika hili faili salome ee jomba.
Mi:m memwenyewe jomba
G:pole kaka..komaa huu ndo uwanaume sawa kaka.
Mi:ndio mkuu.so mpigie john asee?
((john rafiki yetu  amechukua gari alilokuja nalo G na kwenda nalo kwa mademu zake wala hatukujua yuko wapi ikabidi G ampigie simu))
G:huyo john kweli ??
Grrrrr grrrrr (ghafla simu ikaita tena akapokea) “sasa we john k…………….. mbona huja hadi sasa hivi wewe dogo…………………..acha hizo fanya fasta ee…………………………….sasa unasemaje……………..poa nusu sawa ..we zingua wakufume huko hakuna atakuja kukomboa sawa….” (simu ikakata)
G: anahoji::huyo dogo hii tabia karidhi kwa mtu hawezekani dogo anaenda kweye mdomo wa simbaa hivi hivi du..
Mi:du dogo tushampoteza kabisa.m ngoja niaze kununua msalaba na sanda kabisa..
G:ila dogo kweli lazima abadilike maana kaka spidi yake ni kubwa mno da ..sijui..
Mi:wewe huwa umewambie jomba.
G:Na Yule mdingi akimshika ataeleza vyote mzee mwenyewe kashapigana sana vita mpaka huko kongo kafika..sijui majanga haya..
 Mi: atakaa sawa kaka worry not..
(ghafla tukaanza kuzungumzia muvi tuliyokuwa tunaiangalia)
G:kaka huyo mzee ni noma aliwaafuta hawa watekaji kweli hii mtu ni FBI ya ukweli?
Mi:da kaka huyu mzee ana vifaa na ujuzi usiochacha kama elimu zemu za bongo unasoma leo unasahau kesho..
G:ila we huyu demu alikuwa mwanae wa kumzaa kweli?maana hapo sikupapata freshi?
Mi:dogo huyo alizaliwa na huyo mother hapo(namuonyesha) sasa kutokana na ishu za kijeshi mama akashindwa kuvumilia kalenda za mshua akaamua atafute msela mwingine hivyo waliachana na jamaa ila motto ni wa mchizi..
G:huyu dingi mnaa kweli sasa anampa zawadi ya farasi apeleke wapi?
Mi:watoto wa masaki utawaweza wewe wa tandale kweli?
Stori zikabadilika ghafla :::
G:we umeacha na salome sawa sawa na alivyoacha huyu mzee wa hii movi?
Mi:acha ishu hizo ,m salome hajaniacha kanipa mapumziko sawa na
Eva kaja kupooza machungu sawa..wewe pendo yuko wapi?sio unasema wenzako tu.
G:katembea na bwana ila hamna shida
We fikiria :nilimfwata kumtongoza kikauzu akagoma,
 nikaondoka na ndinga akagoma
nikaenda na baskeli akagoma
sasa nifanyeje inaonekana upendo hanipendi kabisa.
Mi:ila nasikia kunajamaa anakula pale kitaa.
G: yawezekana mkuu maana Yule demu sina hamu nae kabisa.
Tukiendelea kuchati pale mara tukasikia honi tukajua lazima atakuwa john..
Mi:ngoja nikamcheki huyu mnaa?(kweli alikuwa mwenyewe)sasa wewe si hushuke kaka..
John:oya nia aje nyokaa
Mi:poa jomba.
John: mwanangu kweli ngoja nipark vizuri maana njaa inaniuma mbaya kaka yaani huko kote nikotoa tulikuwa tunakunya soda tu mtu wangu?
Mi:poa kuna vitu kwenye frigid itabidi upashe?
John:ni mzuka..(akafika sebuleni) daaadaaa haiwezekani maze mmepiga bia zote hizi da kweli nimekosa bahati daa..
John anamuhoji G:::: sasa na we dereva ulikuwa unakunya bia za nini?
G: akajibu: kaa hapo una kesi ya kujibu?
Mi:sasa we kapashe huo msosi uje hapa na chukua kuna soda huko kwenye frigid wewe si hunywe kilevi.
John:da itakuwapoaa maana na kiu mbaya hapa nilipo..
 Mi:umeona hapo,yaani hiyo mashine ya shoti wakikufungia tu lazima ujikojolee.(mazungumzo yakahamia kwenye movi kidogo)
G:sure bro hii mashine ni moto wa kuotea mbali jomba mpaka jamaa wa goodluck akasema yote we unafanya mcchezo nini? (jambazi mmoja ndani ya movi G kampachika jina la goodluck)
Mi:hiyo kitu ni soo
G:sasa hapa inabidi tutoke hapa moja kwa moja mpaka sikani maana mother anataka nimpeleke sehemu.
Mi:kijana sasa hizo bia na mambo ya kumuendesha mama yanaendana kweli kaka?
G:mzoefu mimi bia nne si ishu tunge piga saba ingekuwa soo..ila hizi nitazikabili kakaa worry not…
G:we fanya fasta tusepe mother anasubiria ndinga.
Mi:haya tutajitahidi.
John:wanangu kitu cha futa kinakaribia kukata jomba?
G:we usiniletee us…john ulienda wapi mafuta yalikuwa kibao.
John:foleni mwanangu ilikuwa noma..nilifika bunju tu hapo.
G:aaaaa k………… huyu jaaa kuazia leo simpi gari hata iweje.
Mi:na we jo umezidi umalaya kaka bunju jombaa ulienda kufanya nini?
John:nilimpeleka mama mkewe alikuwa anaenda msibani akaniomba msaada,maana magari yalikuwa ya shida mbaya.
G:haya msamaria huna leseni unafika mpaka bunju wangekudaka nani angekutoa selo.
John:halafu sikuwaza hizo kabisa...ila na buku ten hapa nitakutoa uweke mafuta kidogo usimaindi chale yangu…
John:oya frank  Yule demu tuliyekuna nae mlimani city siku ile tulipoenda kununua ndovu za kopo..unamkumbuka
Mi:da nimekusoma suzy au ?
John:ee huyo huyo wezake sasa nimekutanae bungu alikuwa nakuja mwenge nikampa lifti daa toto linanyama ka bucha la ubungo mataa..ikabidi nitupe kete fasta.
Mi;sawa sawa bwana mzee wa voko vokolisti…nyoshi el sadati..
John:kashaisha Yule nilikuwa napiga vorco mvululizo kama naimba kwaya vile..
(muda wote G alikuwa nalikagua gari kuona liko sawa au la )
G;frank asante sana kaka tutaonana unimalizie ishu za job.
Mi:poa safari njema mazee sasa we john itabidi umuendeshe huyu mpaka mfike zitakuwa zimepungua hizo pombe…na jmo usisahau uje tende san cirro jomba maana hapa nilipo sijisikii…


G:poa kaka m siwezi toka night jioni maana father anaweza nikazingua?
Mi:so kama utaka kuja itabidi uje kulala huku.
Wakaondoka pale wakielekea tabata  m kama kawa nikamalizia ndovu yangu mmoja nikazima laptop na kuenda kupiga usingizi kidogo nikiwa katikati ya usingizi simu yangu ikaita kuicheki kumbe Eva anapiga so nikajiweka sawa nikapokea
Mi:niaje dear?
Eva:poa tu,wapi hiyo?
Mi:sikani
Eva:oooh so nije?
Mi:da naona ka muda umeenda sana mama au?
Eva:we muda niachie mimi sawa.
MI:sawa mama njoo ur welcome.
Eva:au salome karudi unaogopa nitamkuta?
Mi:hapana nipo peke yangu  now.
Eva:poa nipo hapa sekilango so nipe nusu saa.
Mi:poa. (simu ikakata) nikawaza “sasa na hizi bia leo itakuwaje daa  na dogo hapendi bia kabisa”ikabidi nipege mswaki pale fasta na kupiga maji ya kutosha kupunguza harufu chupa zikawekwa stor fasta na deki ya kiaina ikapigwa pale sebuleni.hapa hali imekaa sawa so niendelee na mboji.nikapiga mboji ka muda wa dakika kama 45 hivi ndo eva akawa amiefika pale sikani nikamkaribisha na makiss kama kawa alikuwa kapiga skinjeans na kitop alitoka poa sana so kijana vazi likanipa mzuka zaidi nikajisemea wenyewe.. ‘”nimejaribu, nimeweza na ninasongambele”so dogo akafanya kassignment kadogo pale kwenye machine baada ya kumaliza ukaniuliza ile khanga la wageni iko wapi?so nikamjibu “hapo chumbani ma”so akaenda kuvaa na kenda msalani..huku nyuma mtu mzima nikafunga mlango mkubwa na kumfwata dogo chumbani..mtoto kaenea kwenye kitandaa kajimwaga mbaya so ile stali aliyokuwa amelala nayo inaitwa wewe tu huku kwetu uswazi.sikufanya ajizi kijana kama kauli mbio inavyosema nikaanza kuperuzi na kudadi.ngozi laini ikaendelea kumpapa taratibu visigino tu kwa dakika 20 hivi napita taratibu kwenye vidole vyake lain vilivyokuwa vimepakwa rangi ya blue huku nikimcheki eva alikuwa akijigeuza geuza nikasema moyoni moyoni “hii dozi inamuingia”nikaanza panda taratibu na magoti mpaka nilipokaribia makao makuu ya mkoa nikaparuka na kupanda juu zaidi na kwenda kumpa pumzi kidogo hivyo nikala ndimi pale huku nikiendelea  kuperuzi Na kudadisi kila kona..eva nifundi jamani acha yaani ukitoa kwake pasi lazima akurudishie pasi kama Barcelona vile hivyo reheso ilikuwa nzuri sana nikajihisi kila siku nikuwa naona eva anazidi kuwa mpya kitu kilichokuwa kinanipa sana mzuza nikapanda juu na zana taratibu huku kitu cha paper loving kikipigwa kwenye laptop yangu niliyokuwa nimeikoneti na spika za ghetto.aaaaaaahh pole pole
**************************************************************


…ilikuwa mwimbo wa taifa kipindi hicho so mtu mzima nikampa motto dozi kamili ka ile ya dawa mseto ya maralia kila kona ya chumba nusu tuvunje laptop maana ilikuwa kila staili 3-5-2 ndo staili yangu kubwa kwa wale wataalamu wa wanajua huwa inakuwaje mtu ukimpiga kwa kutumia mfumo huu wa maangamizi unapanga midfield wa kufa mtu..hivyo unatakiwa uhakikishe unaguza kila pande na unatembea kwa speed kali hii staili inahitaji sana mazoezi kwa mwanaume, hivyo kama huna mazoezi basi huwezi kuiweza hii  staili.katikati ya mashambulizi unatakiwa kusaidiana na mdomo na vidole kitanda hapa huwa hakina kazi kubwa maana kinatunika sehemu ndogo tu hasa kwenye kona zake..aaaaaaaah basi baba imetosha..nilikuwa naenda ya nne sasa dogo akanitoa fasta na kwenda zake kuoga so nikabaki natoa macho pale hoi kidume na uchu bado ulikuwa unanikabili..(dogo akatoka kuoga)akaniuliza “kweli frank ulikuwa na mpango wa kuniua eeeeh”.nipakashindwa na kuvumilia nikamfwata na kumkumbatia nipampaa joto jipya kama kawaida maana sikenda kuoga nae makusudi maana niliuwa na mpango wa kumaliza la nne.so nilipomkumbatia na kumpa joto la kutosha doga akajisahau nikamshusha na kumalizia langu la nne taratibu dogo alanza kulia(oooH fe naumiaaaaaaaaa) maana kitu kilichelewa kutoka mbaya.dogo alijua kuzungusha alizungusha kwenye ile hatua ya nne mpaka nikampa pole maana kitu kilipotoka dogo alijikuta amepata usingizi wa ghafla.nikamuacha amelala nikatoka zangu nje..
Mi:. Kurudi zangu ndani nikakuta eva bado kalala so ikapidi nimuamshe maana simu yake ilikuwa inaita..
Eva:eeeeeeeh mama hebu zima hiyo laptop… hallo……………. Ndo………… (akapoke simu) nitakuja mama usihofu…..aaaaa…ok ……miss u..poa ……mpe hy dad…………….kesho basi…………ok..
Mi:hivyo unalala mama..
Eva:eeeh lakini sitakitena usumbufu sawa baba tukila tunalala sawa mzungu wa nne sawa.


Mi:poa mama ila itakuwa ngumu mama bora niseme ukweli.
Eva:koma sitaki usumbufu serious nimechoka mbaya na njaa inaniuma sana so niandalie menyu pleas..
Mi:hilo tu worry not sema lengine ma dear..wakati naenda kuandaa m nenyu eva alikuwa nanaangalia simu yangu yenye line ya voda na akakutana na msg iliyosema  “dear m nimechoka kusubiri?”
********************************************************************msg ile ilimpa hasira sana na kuamua kuamka na kutaka kuondoka usiku ule ule kwa wakati ule ilikuwa tayari ishafika saa 3.30 usiku hivyo ikabidi nianze kumsihi asipandishe jaziba usiku ule maana pale sikani hapakuwa natabia ya watu kupiga kele iwe mchan iwe usiku so nikamsihi sana lakini ilikuwa ngumu kunielewa akawa ananganganiza nimtajie huyo mtu aliye tuma hiyo msg dakika 40 zilizopita nikamwambia mama huyo ni bosi alikuwa anataka nimtumia kazi yake ya report ya maralia lakini wapi eva akagoma kabisa basi ikabidi nichukue simu zangu na kuondoka nazo kwenda nazo jikoni maana nilijua tu soon itakuja msg nyingine.
Moyoni nikiwaza je eva akijua kuwa m huwa nauza madawa itakuwaje? Na huku bado ni mwanafunzi da mungu niokoe na hiki kiama sitaki kabisa eva ajue hizi ishu nikapiga pale na ishara ya msalaba ya kizushi nikimwomba mungu aniongoze nisikije nikakamatika maana baba yake eva ni afisa usalama na mi namfahamu sana maana kashakula sana million zangu kadhaa da ilikuwa usiku wa mshike mshike ikabidi nimpigie simu bosi nimpe ishu mazungumzo yalikuwa kama hivi..
Boss:o
Mi:tena?
Boss:we nani?
Mi: oya 666
Boss:dogo vipi uko poa..
Mi:niko poa boss sema ile assignment yako nitakutumia kesho cxk?
Boss:poa dogo akasemaje sasa?
Mi:ndo na malizia conclusion sema page37 ndo ilikuwa inazingua. Baada ya mazungumzo hayo bosi akawa ameelewa kabisa kuwa eva yupo na aliiona ile msg (Cxk ;c inaamisha eva, x msg na k kusoma)hizi ni lugha zetu za kazi na page 37 inamaanisha kakunja uso mbaya na haelweki hagawanyiki ila hajuii nani katuma ile msg.
Hiyo boss alimuita mama shuhuli ambaye muda wote alipo boss na yeye huwepo akamwabia anipigee kwa namba yake na m siku niende nikaisahau chumbani pembeni ya alipolala eva ili aitapo tu eva apokee
Kama kawa nilifanya kamaniliyoagizwa na bosi mkuu na kweli baada ya dakika kazaa simu ikaita na namba za Kenya maana boss wetu alikuwa anatumia mtandao ya Kenya.eva akashituka naalipoona ni ile namba akaogopa kupoke kwa muda.akaanza kuniitaa
We frank we frank simu yako inaita ??


Mi:pokea mama unaogopa  unaogopa nini?
Eva:njoo uongee nae mwenyewe  bwana m sitaki kuongea na wake zako?
Mi:siji huko kama hutaki acha ikate?
Eva:akapokea kwa hasira; “halo we nani”
Mama shuhuli:m lulu mambo.
Eva:poa yaani wewe ni lulu huyu huyu unamtaka na frank wangu eti?
Mama shuhuli:m lulu dada yake na boss wake ,we shemeji gani unakuwa mkali ka pilipili?
Eva:aaah shemu pole mwaya kumbe wewe Nairobi kunasemaje?
Mama shuhuli:kukopaa so akija frank mwambie anipigie sawa shemu halafu usimnyime kaka nyangu sawa?
Eva:tena ushindwe m bado mdogo wa simpi na yeye asinipe sihitaji?
**************************************************************
Mama shuhuli:sasa mbona hapo ulipo chupi huna umeuza au umeanika ee we unanenepa kaka anaconda hiyo si tabia nzuri sawa shemu?
Eva:m nakula kwetu sasa yeye si anajifanya kidume kawakimbia wazazi mwache akonde na umalaya wake umemjaa.
Mama shuhuli:poa mwaya baadae kazi njema.
Eva:na wewe mama mpe hy shem..(baada ya hapo)akaanza kuniita frank dear ni lulu ….
We frank husikii au?
-------------------- (Itaendelea toleo lijalo…) ----------------------------------------
(Je eva ataweza kuligusa box lenye……..)
(Na je box lina madawa, silaha, kichwa cha mtu, .passport, pesa………)
(Je eva atapona kweli… pindi atakapoona kilicho ndani ya box) 
(Baba yake eva akigundua itakuwaje usikose toleo lijalo>>>>>>>?)









KALENDA YA KIFO FULL STORY..ISOME SASA

KALENDA YA KIFO


Nikikumbuka tulivyokuwa utotoni sikuwahi hata tegemea kuna siku naweza kuwa hapa nilipo..
Ilikuwa ngumu sana kupata hata   mulo mmoja wa siku tuliishi kifukara sana sikuwahi vanguo mpya hata iwe sikukuu..
Mama alituzaa watoto saba na baba hana pesa kushona viatu ndo ilikuwa kazi yake..
Shule niliacha nikiwa la nne na kutimukia mtaani kutafuta maishaili niweze kusaidia wadogo zangu na familia yetu..
Kwa kweli tuliteseka sana nakumbuka hata nikienda msalani ilikuwa ngumu kujisaidia maana chakula tulichokuwa tunakula kilitufanya tushide kujisaidia bila kulia ..maana haja ilitoka kwa shida sana tulikuwa tumekonda sana afya mgogoro na hakuna aliyekuwa penda mtaani zaidi ya kutuita machokora.
Nakumbuka nilishawahi  lawitiwa na vijana wa kihuni usiku nikiwa stand nikiuza machungwa niliachiwa na mama..walikuja vijana na kununua machungwa yote na baada ya hapo walisema nikafwate pesa ndipo huko walinifanyia vitendo vya ajabu na nililia sana nilishidwa kutembea na walikuja kuibeba na kunipeleka hospital na baada ya kulazwa kwa siku tano ndipo niliruhusiwa kutoka na iliporudi nyumban nilikututa ndogo wangu wa tatu anaumwa sana na baada ya siku tatu alifariki dunia …siku ya mazishi yake nililia sana na sikuweza amini kilichotokea.majirani wachache walihuzuria kwa kuwa tulikuwa mafukara sana hatukuweza hata kununua jeneza tulimfunga kwenye kanga na vitenge na kwenda kumzika mdogo wetu.
Baada ya msiba baba yetu alisafiri na aliporudi toka kwenye hiyo safari yake alituambia kuwa leo ni siku yetu ya mabadiliko..na mimi nilishangaa sana kumuona baba amevaa nguo za bei na atabasamu kubwa alitutoa out na kutununulia mavazi mapya na kisha tukaenda kula kwenye baa kubwa pale mtaani kwetu ..

Kila mtu aliyetuona hakuna aliyeamini kwa  kuwa sisi si watu wa kupendeza wala wa kula sehemu zuri za bei ya juu..lakini kwa mara ya kwanza baba alitoa pesa mfukoni kwake elfu 10 ,na kwa wakati huo elfu kumi ilitutosha wote kula na kunywa na kusaza..

Baada ya siku hiyo mambo yalibadilika kabisa kabisa kwenye familia yetu..tulianza kuishi tofaut kabisa tulianza kubadilika na kuwa familia tofauti tulianza kupawa tunakula mara mbili mpaka mara tatu kwa siku..na baba alibadilisha kazi na kuanza kuuza nguo na wateja walikuwa kibao kiasi cha baba kuniweka na mimi ili nimsaidie kuuza mitumba na kwa siku tuliweza kukusanya elfu hammsini..

Tuliweza kubadilisha nyumba na kupanga sehemu zuri zaidi.maisha yalizidi kubadilika na kila siku nilikuwa namshukuru mungu na kusema  kweli mungu umetenda miujiza na huku nikimlaaumu mungu kwa nini mdogo wangu amekufa wakati huu maisha yameanza kuwa mazuri..
Baba alibadilisha kazi na kuhamia kwenye maduka ya bidhaa za nyumbani na alifunga maduka 5 makubwa mjini dar es salaam na tulikuwa watu  wa kazi na tulifanikiwa sana na tuliweza kumilki gari saba za abiria na mbili za kutembelea..pesa ilikuwa karatasi isiyo na dhaman kwangu tena maana nilikuwa na pesa na nilikuwa na uwezo wa kutembea mkoa ninao taka na nchi za jirani ..
Baba alikuwa aniamin sana na kila mtu alijua.baada ya mwaka baadae wadogo zangu wawili walikufa kwa ajali wakitoka shuleni na ulikuwa msiba mkubwa..na watu maarufu walihuzurua pamoja na wafanya biashara wezetu wa kariakoo..ilikuwa hudhunui kubwa kwetu na nijikuta Napata gazi na kuzimia baada ya kuona majeneza ya wadogo zangu wawili yakiingia kwenye nyumba yetu ya ostabey..
Nilizimia baada ya masaa 6 na nilipozindika nilikuta wameshawazika tayari sikuweza kutoka nje ya nyumba yetu kwa mwezi mzima..baada ya kuona mambo yanazidi kuniendea kuombo ilibidi niende kanisani kusali na nilianza kusali na nilisali kwa nguvu na baba yangu alikuwa ananiambia kuwa dini ni za wazungu sisi washwahili hatuna dini nilikuwa nambishia na nilikuwa namshauri aungane na mimi kanisani maana siku za kula mwanadamu duniani zinahesabika kabisa..lakini baba alikataa alisema yeye alijenga kanisa sasa ni kazi kwetu kwenda kusali ..yeye amestaafu na amepewa na pension yake kabisaa.
Sikukata tamaaa niliendelea kushawishi baba awe anahuzuria  kwenye ibada lakini niligoga mwamba kabisa..

Siku zilizidi kwenda na ikabidi nioe na kuwa na familia yangu na kuacha na baba na mama yangu tukahamia kwetu kwenye nyumba ambayo baba alitupa kama zawadi  siku ya harusi yetu tulibahatika kupata mtoto mmoja na kwa bahati mbaya alikuwa anaumbwa umbwa sana mara magonjwa yasiyojulikana hali hii ilitunyima rah asana mimi na mke wangu na tuliziduisha maombez na kwa kiasi kikubwa kila tulipo kuwa tunaomba mtoto wetu alizidi kupata nafuu..
Siku mmoja niliamua kwenda kijiji kwa baba na bibi na nilipofika huko nilikuta mambo ya ajabu sana maana nyumba ya bibi yangu ilikuwa na hali mbaya sana ingawa makaburi ya ndugu zetu yalikuwa yametengenezwa vizuri na sikuweza kuuliza kwa nini lakini kwa hali ile sikuweza hata kulala ilimpatia bibi pesa na kuwasalimia ndugu wengine na kuondoka zangu ..
Niliporudi dar niliitwa na mama yangu mzazi na akaniuliza ulienda kufanya nini kwa bibi yako nikamwambia kumsalimia alilia sana mama yangu na kusema umenipoza wanangu ..
Nikawaza sana kauli ya mama yangu nimempoza kivip bila ila jibu sikupata…na aliposema umenipoza tu aliondoka zake na kwenda kujifungia chumbani kwakwe..
Nilirudi na kuendelea na maisha na mke wangu na kwa wakati wote huo tulikuwa tunafaya biashara ya kuuza vipodozi ..na wadogo zangu waliobakia walikuwa wakisaidiana na baba kwenye maduka yake ya kariakoo..
Baada ya mwezi mama yangu mzazi alikufa na alienda kuzikwa kwetu kwa bibi..na nilimkumbaka alivyosema nimempoza ..maana hakuweza kufika kwa bibi akiwa mzima ..alirudi maiti na kila aliyekuwa pale msibani alikuwa anaogopa kusaliamiana na baba yangu na sikujua kwa nNI?
Lakini baada ya msiba kuisha kikao cha familia kilikaa na kumkalisha baba na wakaaza kumuuliza mswali kwa kilugha..
Wazee wa ukoo walimuulizwa …


Mzee mmoja :Kwa nini?????unafanya hivyo
Baba:sina jinsi
Mzee wa pili::huna jinsi kivip??
Baba:akanyamza kimyaaaaaa
Wazee walizidi kumtoromea kwa zama zamu na mwisho baba aliamua kuondoka naliporudi dar alikuwa kama amechanganyikiwa hivi ..?
Alikuwa anagawa bia kama maji akiingia baa anawanunulia wateja wote bia mpaka stock ya bia bar iishe kabisa na baada ya bia zote kuisha baba anakojolea kaunta ya bar na viti  na kulipa bili yake na kwenda zake..
Tabia hii ilikuwa ya kila siku baba akauza na gar zake akafili maduka yote kwa kugawa pesa kwenye pombe na akimaliza anakojolea kaunta ya mareti waliyoshidwa kumaliza kunywa watejaa..
Baada ya mwezi baba uchizi ulizidi kukuwa kiasi cha kuwa analala chooi na na kuamishi kila kilicho chake huko…wadogo zangu walitesema sana hawakujua cha kufanya naniliamua kuwachukua na kukaa nao kwangu…
Cha kushangaza baada ya miezi miwili kupita baba alirudi hali yake ya kawaida na alikuwa na pesa ajabu kiasi cha kujenga magorofa matatu kwa mkupuo ,maduka tisa alyafugua kwa mkupuo na alinunua magar matano ya kwenda mikoani ..
Sikuweza amini macho yangu baba huyu huyu chizi chizi juzi tu leo kafumuka hivi…ndipo nikaaza kutilia mshaka mali ya baba yangu na kuamua kupeleleza..
Siku ya kwaza iliianza upelelezi wangu kwenye maduka yake kwa ungalifu nilienda kama kusalimia tu..

Lakini baada nikagundua kila duka la mzee lina vitu vyote vipya kasoro saduku la kutumzia pesa t undo kuuukuu balaa na ni la ngozi…
Mfanyakazi mmoja aliniuliza sawali>>>?
Mfanyakazi:hivi kaka pale kwenu mnawafanyakaz wandani wengi sana eeeeee??
Mimi:hapanaaaaa kwa nini??
mfanyakazi:baba alisema hatuna haja ya kufagia duka wafanyakazi wa nyumbani huwa wanakuja kufagiaaaa
Mimi (kwa haraka):kweli…..
Baba aliporudi cha kushagaza alimfukuza mfayakazi Yule pale pale nikiwa naangalia .na hakuwepo na hakuna aliyewambia nilichaambiwa lakini alipofika akimfukuza kazi Yule mfayazi na mimi kuiuliza wewe mwanangu unafanya nin hapa??
Mimi:nimekuja kusalimiaaaaa
Baba:oooh kusalimia mkewo mzimaaa
Mimi:mzima kabisaaaa
Baba:wasalimie na ukija tena hapa uwe unato taarifa ili uikute siku hizi sishind sehemu mmojaa..
Mimi:sawa babaaaa
Nilipotoka pale ilienda yumbani kwa baba a nilipekuwa kila chumba kilichokuwa wazi na kufanikiwa kuona picha za marehemu wadogo zangu mama zikiwa  kwenye kalenda moja nyeusi na zilipangana kulingana na waliotangulia kufaa..katika mtiririko huo niliona picha yangu ikiwa ifwata baada ya mama nay a mtoto wangu ilinifwata mimi na mke wangu kisha wadogo zangu waliobakia na wamwisho alikuwa baba..
Ilishangaa sana na sikujuua ile kalenda ilikuwa ni ya nani ?maana chumba aliyokuwepo hiyo kalenda alikuwa halali mtu kabisa..
Ilirudi kwangu kwa hudhumi na kwambia mke wangu tusali sana maaana nyakati za mwisho zinakaribiaa na kweli tulizidisha maombi na kwa nguvu ya mungu tuliweza kuipinga roho ya kifoo…
Nilirudi tena kuingalia ile kalenda na kukuta picha yangu na familia yagu ni za mwisho kabla ya baba..picha za wadogo zangu zilitangulia baada ya mwezi mdogo wangu ambeye picha yake ilitangulia aliaza kuumwa sana ..


Mimi nikapata na kiwewe nikahamia nyumbani kwa baba yangu na familia yangu tukaaza kupiga maombi mazito kukemea ile kalenda ya kifo tulikemea na kwa kipidi chote hicho baba alikuwa hataki hkuja nyumbani kwake akisingzia nyumba yake tumeigeuzaa sinagogi..
Tulizidi kuomba na kumuombea mgojwaaa..na familia zimaa..siku moja iliamka asubuhi sana na kutazama nje nikawaona wadogo zangu pamoja na mama wakifanya usafi nje ya nyumba yetu ..
Nilipiga kelele kuu na kila mtu aliamka lakini walipokuja kuangalia hakuona kitu kwa kuwa mama na wadogo zangu waliokishwa kufa walikuwa tayari wameshapotea..
Ilichukua nyundo na kuanza kuvunja kila chumba  kilichokuwa kimefungwa bila kufumguliwa kwa muda mrefu ili kujua dsani kuna nini??
Wakati na anza kuvuja baba alipiga simu akanimbia umechokoza moto wanangu ..hii vita huwez kushinda nakujaaa.
Mimi sikuogopa cha baba wala msukule nilivunja chumba cha kwaza nikakutaa wafanyakazi watano wa
Baba waliokuwa wamekufa miaka ya nyuma wakiwa wamejikunyata kwenye kona,niliogopa kidogo na niliendelea kuvunja chumba 2 na sasa huko niwakuta wado go zangu wakila pumba na walikuwa na nywele za kichwani nyingi sana..niliia sana na kwa uchungu ilikuta naenda kuwakumbatia wadogo zangu kuaanzia ndogo wangu aliyekufa wa kwaza kipindi kile tulipokuwa na maisha magumu sana..




Nataman kufa sehemu ya kwanza

Ilikuwa siku ya kutisha siku nilipomfumania mpenzi wangu mke wangu wa ndoa na muuza madawa maaruufu hapa mjin wakifanya mambo yao sebulen kwangu.. Ilikuwa siku ngumu sana kwangu kushuhudia mwanagu wa miaka miwili akiwa kanyeshwa madawa ya kulevya na yuko hoi hajijui.... Naikumbuka siku hiyo nalia na mungu wangu... Madawa yalikikuwa yametapakaa meza zima.. Sakafu yote... Huku uban na sigara kali zikuwa zimewashwa... Hakika hawez amina kuwa sikuweza jua harufu kamili ya sebule yangu.. Hakika.. Niliumia sana.
Mke wangu anamimba ya miez sita na yupo sebulen uchi akiwa hajitambui huku huyo muuza madawa aliendelea na harakat zake hakika... Niliishiwa nguvu kwa nini lakin mke wangu uliamua kufanya haya.. Katika hiki kipind kigumu nilichokuwa nakuhitaj.. Unifariji baada ya kutoka kwenye msiba wa baba na mama yangu waliofariki kwa ajali.... Nini kilikukuta.. Mbona dunia imeniangukia mimi mwenzenu....
Itaendelea.. Kesho..
Www.simulizizakweli.blogspot. Com

                   FULL STORY  BONYEZA HAPA




UHAUSIGELI STAKI TENA


UHAUSIGELI SITAK TENA.
Nakumbuka ilikuwa mida ya saa saba usiku ikiwa nimelala nikasikia watu wanaongea kwa mbali nikiwa usigizini huku nikizani ninaota gafla nilisikia sauti hizo zikizidi kuongezeka nikashituka toka usingizini na kukaa..kitandani
Wakati natafakari hivi ni maluwe au ni kweli nikasikia zile sauti tenaaa ndipo nikaamini hii si ndoto ndipo nikaamuka na kuisikiliza vizuri ile sauti ya ajabu inatokea wapi ndipo nikabaini kuwa sauti ile inatokea nje yaani uwanjani kwa kuwa mimi nilikuwa na lala gorofani nikafingua dirisha kidogo na kuchungulia nje ndipo nilipoona mambo ya ajabu kabisa ..nilimuona bos wangu na mke wake waliwa uchi wa nyama pamoja na jirani yetu pamoja na watu wegine ambo baadhi yao nilishawahi waona wakija hapo nyumbani siku za nyuma..walikuwa wamefunga vitambaa vyeus kichwani  na miguuuni huku wanaume wakiwa wanachinja kitu ambacho sikuweza kukitambua mara moja …..wanawake walikuwa bize kuimba ilena ndo hao walioniamusha  usingizi masikini mimi nikaaza kulia palekimya kimya kwa kuwa nimeshagundua kumbe mali zote hizi ni za kichaw na siku zangu zinahesabika..huku nalia nasali na huku naangalia wanachinja nini ndipo niligundua walikuwa wanamchinja mama moja hapa jirani yetu na wakamla nyama naona..mama huyo alikuwa anaumwa sana na kwa kipind chote hicho alikuwa hosptali na majirani iliwemo familia y abos wangu walikuwa wanampelekea chakula mara kwa mara na kumtembelea hospitalini…

Kumbe boss wangu na wezake ndo walikuwa wamemloga na siku hiyo ilikuwa siku ya kumlazia kabisa kwani walipomaliza kula nyama na nifupa vipipotea na wao walipotea na mimi siku pata usingizi nilibaki macho mpaka asubuhi na asubuhi ilipofika nilianza kazi za ndani  kama kawaida huku nikijifanya nafuraha kama siku zote ..na ndipo tulipata taarifa kuwa mama wa nyumba ya jirani kafaa na boss na mke wake walijifanya wanasikitika sana mbele yangu na mama boss alikuwa Analia kabisa kias cha mimi kumbembeleza na kumsindikiza msibani huko msibani alipofika aliangua kilio cha ajabu na kuzimia kabisa ikabidi wampepe pale na wale wamama na wababa niliona jana walikuwa kipaumbele sana pale msibani walijifanya kama wao ndso wafiwa sana na mimi kwa roho kuu huku nikiomba roho mtakatifu anipe ujasiri niliweza kuvumia na hakuna aliyenishitukia au kunitilia shaka kwa lolote…

Msiba ulikuwa wa kutisha pale mtaani watu walikunywa na kula walilewa na kushiba bendi ilipiga masaa yote kwanya zilikuja mpaka za kwao mwanza kuja kuimbia msibani watu walivaa tishet mpaka nyingine wakachukua takeaway za kwenda kudekia makwaoo.ulikuwa msiba wa mwaka boss wangu alitoa kama milioni 52 hivi kusimami msiba tu …hao wezake walichanga mafuta ,vyakula, na kadhalika…
Baada ya siku tatu marehemu alizikwa na maisha yakarudi kawaidaaaa.
Mimi na boss na mke wale na mtoto wake mmoja tulikuwa tunaishi mule ndani na hakukuwa ma tu wengine na hata ndugu wa bos wa walikuwa hawaji hawaji kututembelia pale nyumbani..
Maisha yalikuwa magumu sana kwangu nilikuwa nashinda nasali muda wote na hakuna kitu niliweza kula bila kusali.nilingundua nipo eneo la hatari sana cha ajabu mama mwenye nyumba kwa nje huwezi amini anaomekana mtu wa mungu sana anasali sana anasikiliza nyimbo za dini kila wakati na kutukuza utukufu wa mungu aliye juu wakati ni mchawi wa kutupwa…nilikazana kwenye sala maan niliamini hata nikesema nitoroke wanaweza kuuwa familia yangu kichaw na mimi pia..

Sikutaka hili litokea maana mimi ni wana wa mungu na nikaamini nitatoka kwenye hili shimo la samba salamaa bila kuchumwa wala kugatwaaa.
Siku saba baadae baada ya kuzika yule mama jirani yetu usiku wa saa nane walifanya rena kikao na wakati huo moja wa  wanachama wao alikuwa amekuja kumleta mwanae wamtoe saidaka kibaya Zaidi mwanae huyo alikuwa metoka tu kuzaliwa na mke wake tena kwa operashion wakipanga afaje wanae wanachama huyo alitaka wanae aumwe ili mke wake asishitikie kuwa wamemloga ..wakati huo wakipanga hayo milikuwa nawasilikiliza kwa makini sana huku wakiwa uchi wanyama ..

Nilisikia mpango yao yote na yule wanachama alipewa dawa na aliambiwa kwa kipindi chote hicho wanae asije akaoga maji ya baharini kwa kuwa dawa hiyo imetoka kuzimu chini ya bahari hivyo bas kama ataoga maji ya bahar ataweza kupona …
Wanachama huyo alikubaliana na wezake na kuaapa hatompeleka mke wake beach au kuruhusu mtu yoyote kwenda beach ili tu mpango wao ufanikiwe..
Kwa kuwa mke w member huyo alikuwa jirani yetu na alikuwa rafiki yangu sana alikuwa kamaliza chuo juzi juzi tu kakutana na huyo kaka napesa zake hakujua zinatoka wap masikini akafurahia mapesa na manyumba na safi za china na dubai kumbe mmmmweee  masikini mtoto wa watu aliingia kwenye shimo la mamba…
Kweli bwana siku si nyingi mtoto wale alinaza kuumwa sana na alipelekwa kwenye mahospital makubwa makubwa hapa mjini lakini ilishindikana kabisa  kupona na ilipofika wiki ya kufa huyo mtoto nilienda baharini nikachota maji na  na nikawita jirani yangu tupige stori na alisema nifwate kwake kwa kuwa hakuna mtu …nikakataa kwa kuwa nilijua nikienda na maji yale nyumbani kwetu au kwake wale wachawi watajua …
Hiyo nikamwambia nipo hapa nje ya nyumba yako alipokuja nilipega nae stori na huku amembeba wanae nilimuomba amshushe na aweke kwenye majani alikataa ila nilimsihi alipokubali niliamuka gafla na kuyamwaga yale maji yakamwagikia yule mtoto ghafla macho yalitoka kama anataka kufa vile huku mama yake anamuangalia…alipiga chafyaaa tatu na kulia kilio cha hali ya juuu..

Na baada ya dakka kazaa alirudi kawaida  na joto alillokuwa nalo na homa yote ilikuwa imeisha na huku akiwa ameloana nilibaki nashaa mimi na mama yake huku mama yake akishangaa zaid kwa nini mwanae alipomwagikiwa yale maji aligeuka gafla …
Aliniuliza maswali mengi mimi sikumpa jibu hata moja nikamwambia mama labda ni mungu ila nikamsihi alale na biblia na maji ya Baraka aiache kufanya hiyo inaonekana wanae alilogwa …hivyo sikumwambia kuwa ni mume wake ndiye aliye fanya hayo mambo..
Baada ya kufanya kazi yangu ya kuokoa maisha ya yule mtoto nilirudi nyumbani na kuendelea na kaz zangu na ilipofika siku ya tatu kilifanyika kikao cha dharura cha wachawi na ndipo walijadili kwa nini yule mtoto alipona ghafla na kwa kuwa alipona ghafla na baba wa mtoto itabidi amtoe mtu wengine maana yule dawa imemkataa..na hawawezi kurudia tena kumuua yule mtoto..

Baba wa mtoto aliamua kumtoa mama yake na hapo wachawi wakaangalia na wakasema mama yake hapana labda mke wake..mke wake kijana yule alikataa kata kataaa.
Basi aliamua kumuua yeye wenyewe kwa kuwa muda ulikuwa umeshapita wa kutoa kafaraaaa. Baada ya siku tatu kijana yule alikufa na wakamzika kwa shamra shamra kama kawaida yao..
Hali ilizidi kuwa mbaya mtaani kwani wachawi walizidi kuwauwa watu na kuwatoa kafaraaa na kibaya zaid kwa kuwa mimi nilikuwa ndani ya nyumba ile boss alianza kunikataza kusali sana na kwenda kanisani ..
ISOME SIMULIZI HII YOTE HAPA BONYEZA HAPA

KADENTI FULL STORY


Kadenti
Usijali dear nitakuja tu nitatorka shule nitakuja saa sita sita hivi.au sio ,..mmmwaaaah usiku mwema.. wakaagana pale na teacher ima akaondoka zake kurudi nyumbani..
Huku nyuma ticha akaendelea na ratiba zake usiku huo na ilipo fika kesho kakaja shule na begi kubwa kidogo na humo ndani kulikuwa na guo za kubadilisha mida ya saa sita..
Mwalimu ima na kadent emi walikuwa wakikutana wananunina ili watu wasijue na mara nyingine mwalimu ima alikuwa namchapa kwa hasira emi wanafunzi wenzake wakawa wanajua kuwa walimu ima hampend emi kumbe ilikuwa ni mbinuyao kuficha maovu yao..
Mwalimu ima alikuwa anafundisha hisabati soma ambalo emi alikuwa halipendi kabisa ingawa kutokana uhusiano wao alikuwa anafaulu vizuri tu..
Hiyo ndo historia fupi ya emi (kadenti na ima)
Sasa ilipofika saa sita mchana
Emi alitoroka na kwenda kwa ima na huko walifanya yao na ilipofika saa moja jioni emi alirudi kwao amechoka na alipoulizwa na mama yake kwanini unachelewa kurudi anamjibu tulikuwa na michezo mama…


Kwa kuwa mama yake hakusoma hakuwa na shaka lolote na mwanae.
Kadenti noma aliendeleza hako kamchezo na ticha wake kwa muda wa miezi sita mpaka ikafika hatua ya yeye kuhama shule ili siri zake zisigundulike na alipoamia shule ya mbali zaid ya pale kwao ikawa rahisi kwa ticha kufanya yake huko kwa kuwa alitafuta chumba jirani na shule mpya na huko ndiko ilikuwa balaa akitoka kwako asubuhi anatua geto kwa ticha ticha anatoka shuleni anarudi nyumbani kukaaa nampez wake emi.
Maisha yakazi kubadilika kwa emi akawa navaa vitu vya gharama na anachelewa sana kurud nyumbani kitu ambacho kilizidi kumtisha mama yake ambapo aliamua kuweka mtego.aliwatafuta watu wakawa wanamfwatulia nyuma nyuma na kukusanya taarifa zote na kumpelekea mama yake…baada ya kupata taarifa hizo mama yake alisikitika sana na hakuweza kumuuliza mtoto wake moja kwa moja alimyamazia huku akimuenjoy anvyomdanganya ..
Emi bila ya kujua kuwa anafwatiliana nyuma alikuwa bize na mpezi wake ticha huku akisahau masomo yake.
Waliompelekea taarifa mama yake emi walikuwa  wakisubiria mlipuko wa ugomvi wa yeye na emi  lakini hawakusikia chochote kwa wiki kadhaa .wakajipanga kwenda kuwambia emi mwenyewe kuwa aache hiyo tabia maana mama yake anajua na hajamwambia hivyo kunauwezekano wa kufanyiwa kitendo kibaya siku si nyingi…
Kweli walifanya hivyo na wakaenda kwa emi wakamwambia yote kuwa uhusiano wake na ticha unajulikana mpaka na mama yake mzazi sasa akamuombe msamaha mama yake au aondoke tu kwao maana muda si mrefu mama yake anaweza kumfanya kitu kibayaaaaa sanaaa

Emi hakuamini anachoambiwa alirudi nyumbani kanyongonyea kias cha mama yake kumuuliza nini mwanangu mbona umenyongonyea
Emi hapana mama ni nawaza tu maisha mama yangu..
Mama emi:eeeh wanangu leo unawaza maisha …mmmh naanza kuogopa mtoto wangu kwanini lakini…
Emi;haa pana mama ni kawaida kabisaaaaa.mama hivi kuna kitu unataka kuniambia..
Mama emihapana wanangu nikwambie nini wakati wewe mtu mzima wanangu soma tu faulu uje utusaidie sawa mwanangu..
Emi:sawa mama…usijali
Mama emi:sawa  basi kula uwahi kulala..


Emi akaenda zake kula akalala ingawa usingizi hakuja kabisa akawaza kwanini mama yangu hakutaka kunionya wala kunikemea kwa tabia yangu..
Kwa nini mama lakini kanyamaza kinya…
Hakupata jibu kabisaaaaaa.
Siku iliyofwata alienda zake shuleni moja kwa moja na hakupitia ghetto kwa miezi miwili ticha alifwata na kumuomba warudishe penzi lao lakini emi alikataaa kata kata na kuendelea na masomo yake kama kawaida alikazana sana na kusoma huku nyumbani alijitahidi kumsaidia mama yake na kumfurahisha.
Mama yake emi aligundua mabadiliko ya mwanae na alipewa taarifa na watu kuwa wanae ameachana na ticha na kwa sasa anakomaa na kitabu kwa kuwa ameshajua kuwa unajua anachokifanya…
Maisha yaliendelea na mama emi alikuwa mkinya sana kuzungumzia tabia ya emi ya kuwa na uhusiano na ticha..
Baada ya miezi mitatu kupita emi alihisi kuwa mama yake alikuwa ameshasahau mambo yake na ticha ndipo hapo alipotafuta mvulana wengine wa kupeana raha hapo mtaani na wakaaza uhusiano wao kimya kimya nan uhusiano uliponoga ndipo hapo  wapelelezi wa mama emi walipopata taarifa na wakamfikishia mama emi kama kawaida yao kuwa wanae tena anamvulana mwengine hapo mtaani mama emi alipata hiyo taarifa kwa mara nyingi wakati huu hakuweza kuvumilia na akamwita mwanae na kumwambia ..ukweli nay a moyon..


Mama emi alimueleza simuliz kuhusu maisha yake na huo ulikuwa husia wake wa mwisho kabla ya kufa kwa mwanae emi kwa kuwa mama emi alikuwa anaumwa kansa pamoja pia alikuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi ..alimuita emi chumbani kwake kisha akameza vidonge vyake vya kutuliza maumivu na kuanza kumwambia … “mwana nimekuita hapa nikuambie kuwa nafahamu uhusiano wako na mvulana wa hapa mtaani pia na uhusiano wako ma ticha ambao umeachana nae miezi mitatu iliyopita…mwanangu mimi mama yako nakaribia kufa ila nakuomba mwanangu nisikilize kwa sasa ujue kwa nini nilikuacha ufanye uchokifanya mwanangu..mimi mama yako kipindi nasoma shule nili.