SAFARI YA KUZIMU

SAFARI YA KUZIMU

Ilikuwa siku ya kawaida kwangu nilitoka kazini na kwenda zangu nyumbani nikajumuikana familia yagu kama kawaida na usiku ulipofika nililala na nilipo lala tu ndipo picha lilianza nilijikuta nimechukuliwa na watu wasio julikana waliojifunika mashuka meusi na walikuwa wamebeba mapanga yenye damu waliniweka juu ya fisi na gafla fisi tulitokea kwenye pori moja kubwa na kulikuwa na watu wengi wakiwemo watoto wa dogo ,watu wazima na vijana …walikuwa wanaimba nyimbo zisizoeleweka na walikuwa wakipiga makofi .nikiwa na naogopa sana mmoja ya wale wachawi aliniambia karibu kwetu …

Unaona wale ni wezako tuliwachukua na kuwaweka msukule huku ili wasaidi kazi kwenye nyumba zetu na maduka yetu..ndo maana maduka yetu hatuweki walizi kabisa na wala hatuhitaji wafanyakaz wengi kwa kuwa hawa wote wanatusaidia..kwa mfano angalia duka la mzee …. Unaliona akaionyesha kwenye kioo na niliona vijana wengi wakiendelea na kazi usiku ule wakipanga vitu na wengine wakifangia na kudek vibaraza…
Mchawi Yule alizidi kunionyesha naajabu ya kule kuzimu alinipeleka stor yao huko nilikuta mafuvu ya vichwa na madumu mwengi ya nanilipomuuliza yale madumu ni ya nini?aliiambia hayo yote ni store ya damu za watu tunazozonyonya huko duniani ili kulisha vichanga vyetu vya huku..tuna stock ya kutosha na kweli ilijaribu kuhesabu madumu lakin nilishindwa ..stor ilikuwa kubwa kweli sijawahi pata kuona stor kubwa kama ile..tulienda upande wa pili wa stor huku tulikuta nywele nyingi sana kiasi cha tan 700000 zikiwa zimefungwa kweye marobota kama ya  pamba na  nywele zote hizo zinatoka huku na aliniambia wanazitumia kutengeneza magodoro ya kuzimu..
Tuliendelea kuikagua stor tulikuta mifupa ya watu na mengine ikiwa na damu ana ile ya damu aliniambia ndo imetoka dunia muda si mrefu kwa kuwa kuna ajali imetokea huko na moja ya wachawi alikuwa ni zamu yake kuleta mifupa ndo maana inadamu kaileta hapa muda si mrefu..
Mbele kdogo nilikuta ngoz za watu zkiwa zimehifaziwa na viungo baadhi ya watu kama vile macho,vidole na masikio..na vyote hivyo hutumika na wachawi wanapoenda kuwanga wanavivaa na kuowaona wanafanana na mtu Fulani kumbe si wao bali ni ngozi za watu waliochumwa wanazivaa ili kuficha usilia..

Tulitoka kweye stor na kupanda pembe ya mbuz na waliniambia ifunge macho na nilipofunga tu nilitoke sehemu nyingine wao wanaita mahakamani huko ndiko wanatoa huku nani afe na nani asife huku duniani hapo nilikutana na wazee wenye nywele nyingi na wote hao walikuwa na mshale mkononi na mbele yao kulikuwa na  viyoo na picha za watu zilikuwa zinatoke pale na jaji anaamua nani wamchome mshale ili afe ajee kuzimu na kwa kuwa jaji alikuwa mkuu wa wachawi akichagua hata ndugu yako huwezi kubisha ndivyo alivyoniambia Yule mchawi aliyekuwa ananitembezaa
Basi baada ya kutoka mahakani nilipelekwa kwenye  chumba cha upasuaji na utoaji mimba huku ndiko nilikuta na wadada wa kutosha na order za kutosha za kutoa mimba mwenyeji wangu aliniambia huko duniani kuna watu wanataka mimba za wezao zitoke a sisi huku tunafanya wanachokitaka na tunazitoa na kuzila ….na pia wale wanaofanyiwa upasuaji sisi tunawaibia viungo vyao na wakauta wakufaa wakati wa upasuaji …wasiozaa wote huwa tunawafunga vizazi hapaniliogopa sana maana chumba chote kilikuwa kimetawaliwa na maiti za watoto na damu…
Baada ya kutoka hapo  tulielekea kweye chumba maalumu cha wasanii huku tulikutana na wasanii maarufu wa dunia na nyimbo zao zinazotamba sana huko tulikutana na waimbishaji na watungaji nyimbo ambazo waamini zikiimbwa dunia zitakuwa zinamtukuza shetan na zitapendwa na umati wa watu..wasanii matajiri sana dunia niliwaona huko na wote walikuwa wako bize wakifanya mazoezi na hizo nyimbo ili waje wazirokod kwenye studio za huku na kuzirudisha kule zinabarikiwa na zinachinjiwa mtu mmoja ili kutambikia na zinapotoka kila mtu lazima akubali ujio mpya wa msanii husika..mwenyeji wangu alinielezea yote hayo..
Tulitoka huko na kwenda sehemu ya jikoni jiko la kuzimu ni balaa tulikuta wapishi wengi na wengi walikuwa wakikaanga viungo vya watu na kutengeza supu za damu za watu.gari la machinjio lilkuwa limejaa miili ya watu wa kila rangi wanene kwa wembamba na wote walikuwa tayari kwenda kupikwa ili baada ya ibada wachawi wote wanakuja kula na kunywa supu za wanadamu niliogopa sana mwenyeji wangu akasema kila anayekufa huwa tunamfukua na kumla..tukishindwa tunakojolea kaburi lake kwa hasira..ila wengi wa watu hawapo makaburini wakizikwa sisi tunawala na tunakia migombaaaa..
Nilitolewa

pale maana kulikuwa kunameanza kukucha akaniambia nisimwambie mtu nilivyoviona huku antanichukua tena kesho usiku nije anitembeze maneno yaliyobaki kule kuzimu..
Basi baada ya kufumba macho nilishituka nipo chumbani kwangu kitandani na mwili mzima ulikuwa umejaa jasho na niliogopa sana na sikumwambia mtu na nilitulia tuli..na niliendelea na ratiba zangu kama kawaida na ilipofika mida ya usiku nilikwenda kulala na nilisali na kulala cha kushangaza ilijikuta nimeamkaa asubuhi na yule mchawi hakuja kunichukuaaa..
Basi nilijitahidi kwa siku tatu nilikisali kabla ya kulala na sikuweza kuchukuliwa kimuigiza lakini baada ya wiki nilizarau kusali nikahisi yule mchawi kasahau kuja kunichukua kumbe nilikuwa najipozaaa mweyewe siku hiyo alikuja na kunichukua na  na viboko juu nilipigwa kweli fimbo ..na ndipo nilipelekwa kweye ibada za kichawi na huko nilikuta maajabu makubwaa sana..
Walikuwa wachawi wengi sana na wengi walikuwa wametoka mtaaani kwetu na wengine ni wazugu kuna wachina na wahindi kila rangi walikuwa wamekalia watu ..nikauliza hao watu ni wakina nani akasema hao watu ni wale watu wa duniani wasio Sali wakilala huwa tunawachukua na kuwafanya makochi na hasaa wale wanene ndio wafaa sana kukalia wanakuwa kama sofa vile..na wale wembamba tunawatumia kama wahudumu wetu wa kuwatuma tuma tukiwa ibadani ..kila mtu lazima awe uchi na lazima kila mwenye mke akae peke yake hakuna mtu na mkewe kukaa sehemu moja…..
Mchawi akazidi kunieleza::Tunasali kwa kuita mizimu na mizimu inakuja na kutukagua na mizimu ina tupa maagizo toka kwa lusifa,,bosi wetu na tunapandishwa vyeo kulingana na uwezo wa uuwaji wako kama unauwa sana na vyeo vinapanda sana ..mzimu mdiyo inapokea wageni na wageni wote wanakabiziwa jini na wanatakiwa kwenda kulituza dunia na nilazima lituzwe kulingana na mashati ya mizimu yetu ..hiyo tunawapa wageni wetu na wengi hupewa majini ambayo yakionekana na watu wengine yaonekana kama nyoka .

                  SOMA HAPA FULLL STORY BONYEZA HAPA




No comments:

Post a Comment